by Sauti Media
6 comments 1 minutes read

Leo ni siku spesheli ya kuadhimisha na kusherekea lugha ya kiswahili duniani.
Terehe saba mwezi wa saba, kila mwaka, huwa ni siku ya kupigia upatu hii lugha. Baadhi ya maafikio na mafanikio bora ya hii lugha ni kuwa imeidhinishwa na muungano wa Umoja wa Mataifa (UN) kuwa lugha mojawapo ya kutumika katika mikutano rasmi. Vile vile, kimekuwa lugha rasmi katika mataifa ya Kenya na Tanzania.
Tuzungumze, tukikuze kiswahili.

Katika jitihada zetu na kukikuza kiswahili, twakuuliza utupe majina rasmi ya: –
(kwenye picha)
Mshindi atajishindia mjazo wa simu (Airtime) ya dhamana ya ksh. 100; ima Airtel, Safaricom au Telkom.

You may also like

6 comments

Vincent matei July 7, 2023 - 9:32 AM

Sio hapa Facebook

Reply
Vincent matei July 7, 2023 - 9:33 AM

Yap

Reply
Joseph Nzioka July 7, 2023 - 9:38 AM

A ..visor ya gari.
B….pojo

Reply
Joseph July 8, 2023 - 8:36 AM

I think i was the winner

Reply
Sauti Media July 10, 2023 - 6:22 PM

Absolutely. Share your contact and congratulations.

Reply
Francis mutuku July 7, 2023 - 10:13 AM

1,Visorjua
2,ndengu ama ponjo.

Reply

Leave a Comment

Stay informed with Sauti Media! Discover major updates in politics, fashion, daily happenings, job updates, and more. Your ultimate source for timely and diverse content.

Edtior's Picks

Latest Articles

©Copyright All Rights Reserved. TimSauti -2023

Maintained by DentriceDev Solutions

Adblock Detected

Please support us by disabling your AdBlocker extension from your browsers for our website.